Jumapili, 24 Novemba 2013

BISHOP NICODAMASI NYENYE ALIOMBEA TAIFA LA TANZANIA

Askofu Nicodemasi Nyenye Akiongoza Maombi ya kuliombea Taifa la Tanzania pamoja na Viongozi wote wa Taifa. Imekuwa ni utaratibu wa huyu Askofu Nyenye aliyojiwekea baada ya Mungu kuzungumza naye ya kwamba Kila anapokuwa na Mkutano wa Injili siku ya mwisho ya Mkutano yeye pamoja na timu yake ya Injili hujinyima mambo mengi ya kimwili ili kuliombea Taifa pamoja na Rais wa Nchi. Waliovaa vazi lenye Rangi ya Bendera ya Taifa ni Kwanya ya Kanisa la EAGT Kigamboni Jijini Dar  Es  Salaam Tanzania. Unaemuona juu ya jukwaa ni Askofu Nyenye na Mkewe Wakiwa wamezama katika MAOMBI.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.


ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA.
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA