Jumatano, 11 Desemba 2013

PROFESSOR PIUS ERASTO IKONGO

Mtumishi wa Mungu Professor Pius Ikongo, anatarajiwa kuwa na Mkutano Mkubwa wa Neno la Mungu katika Viwanja vya Kanisa la EAGT Kigamboni kwa Askofu na Dokta Nicodemas Nyenye. Mkutano huo unatarajiwa kuaanza rasmi tarehe 22 hadi tarehe 29 / 12 / 2013. Wote mnakaribishwa, waleteni wagonjwa na Wenye shida mbalimbali Bwana Yesu Atawaponya


Mtumishi wa Mungu Professor Pius Ikongo, anatarajiwa kuwa na Mkutano Mkubwa wa Neno la Mungu katika Viwanja vya Kanisa la EAGT Kigamboni kwa Askofu na Dokta Nicodemas Nyenye. Mkutano huo unatarajiwa kuaanza rasmi tarehe 22 hadi tarehe 29 / 12 / 2013. Wote mnakaribishwa, waleteni wagonjwa na Wenye shida mbalimbali Bwana Yesu Atawaponya


Jumatano, 4 Desemba 2013

VIONGOZI WA TEBE KANDA YA KUSINI MASHARIKI

Wakwanza kutoka kulia ni Mkurugenzi akifatiwa na Makamu wake, na watatu kutoka kulia ni Katubu wa TEBE Kanda ya Kusini mashariki na wa mwisho kutoka kulia ni Mwekahazina wa Kanda. Wakiwa katika Kongamano kubwa waliloliandaa kwa ufanisi mkubwa huko Mlandizi nje kidogo ya Jiji la Dar  ES  Esalaam Tanzania. RIPOTI KAMILI ITAKUJIA HIVI PUNDE 
 Watatu  kutoka kulia ni Mtumishi wa Mungu Profesa Ikongo  akisubiri kukaribishwa ili Kuhubiri Neno la Mungu katika Mkutano wa Nje ulioandaliwa na TEBE Kanda na ni Mkutano wa kwanza Profesa Ikongo Kuhubiri tangu kuamua kujiungu na Kanisa la EAGT na kuacha kutumia jina la Uaskofu kama alivyoachiwa maagizo na Mungu kupitia Mtumishi wa Mungu aliyetangulia mbinguni DR, Bishop M, Kulola.
Wakwanza kutoka kulia ni Mkurugenzi akifatiwa na Makamu wake, na watatu kutoka kulia ni Katubu wa TEBE Kanda ya Kusini mashariki na wa mwisho kutoka kulia ni Mwekahazina wa Kanda. Wakiwa katika Kongamano kubwa waliloliandaa kwa ufanisi mkubwa huko Mlandizi nje kidogo ya Jiji la Dar  ES  Esalaam Tanzania. RIPOTI KAMILI ITAKUJIA HIVI PUNDE 

Jumapili, 24 Novemba 2013

BISHOP NICODAMASI NYENYE ALIOMBEA TAIFA LA TANZANIA

Askofu Nicodemasi Nyenye Akiongoza Maombi ya kuliombea Taifa la Tanzania pamoja na Viongozi wote wa Taifa. Imekuwa ni utaratibu wa huyu Askofu Nyenye aliyojiwekea baada ya Mungu kuzungumza naye ya kwamba Kila anapokuwa na Mkutano wa Injili siku ya mwisho ya Mkutano yeye pamoja na timu yake ya Injili hujinyima mambo mengi ya kimwili ili kuliombea Taifa pamoja na Rais wa Nchi. Waliovaa vazi lenye Rangi ya Bendera ya Taifa ni Kwanya ya Kanisa la EAGT Kigamboni Jijini Dar  Es  Salaam Tanzania. Unaemuona juu ya jukwaa ni Askofu Nyenye na Mkewe Wakiwa wamezama katika MAOMBI.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR  ES SALAAM.


ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA.
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA

Ijumaa, 27 Septemba 2013

UTUNZAJI WA MAZINGIRA KILOSA


Hawa ni baadhi ya Wafanyakazi wa Ikongo Compassion  Group wakiwa katika utekelezaji wa kuweka chombo cha kuhifadhia taka ngumu katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kilosa. Hii ni moja ya mikakati ya Utuzaji wa Mazingiri unaofanywa na kutekelezwa na Kampuni hii ya IKONGO COMPASSION GROUP. Unakaribishwa sana katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ili ujionee na kujifunza  mpango wa Usafi na Mazingira. Mara uingiapo katika Mji wa Kilosa Jilinde na kutupa taka ovyo, kwani ukikamatwa ukitupa taka ovyo utakuwa umetenda kosa na utashtakiwa.



Hawa ni baadhi ya Wafanyakazi wa Ikongo Compassion  Group wakiwa katika utekelezaji wa kuweka chombo cha kuhifadhia taka ngumu katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kilosa. Hii ni moja ya mikakati ya Utuzaji wa Mazingiri unaofanywa na kutekelezwa na Kampuni hii ya IKONGO COMPASSION GROUP. Unakaribishwa sana katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ili ujionee na kujifunza  mpango wa Usafi na Mazingira. Mara uingiapo katika Mji wa Kilosa Jilinde na kutupa taka ovyo, kwani ukikamatwa ukitupa taka ovyo utakuwa umetenda kosa na utashtakiwa.



KAMPUNI YA IKONGO COMPASSION GROUP  Inakukaribisha katika Hotel  kubwa na yakipekee iliyoko katika mji wa Kilosa. Picha unazoziona ni siku rasmi ya uzinduzi wa Hotel hiyo ya Kifahari. Ilizinduliwa rasmi na Mbio za Mwenge wa Uhuru. Maelezo zaidi na tarehe pamoja na majina tutayaandika hivi karibuni.



KAMPUNI YA IKONGO COMPASSION GROUP  Inakukaribisha katika Hotel  kubwa na yakipekee iliyoko katika mji wa Kilosa. Picha unazoziona ni siku rasmi ya uzinduzi wa Hotel hiyo ya Kifahari. Ilizinduliwa rasmi na Mbio za Mwenge wa Uhuru. Maelezo zaidi na tarehe pamoja na majina tutayaandika hivi karibuni.