Jumapili, 24 Novemba 2013

ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA.
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI  EAGT DR  N.NYENYE  AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT  CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI  KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI  SAMBALA

Ijumaa, 27 Septemba 2013

UTUNZAJI WA MAZINGIRA KILOSA


Hawa ni baadhi ya Wafanyakazi wa Ikongo Compassion  Group wakiwa katika utekelezaji wa kuweka chombo cha kuhifadhia taka ngumu katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kilosa. Hii ni moja ya mikakati ya Utuzaji wa Mazingiri unaofanywa na kutekelezwa na Kampuni hii ya IKONGO COMPASSION GROUP. Unakaribishwa sana katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ili ujionee na kujifunza  mpango wa Usafi na Mazingira. Mara uingiapo katika Mji wa Kilosa Jilinde na kutupa taka ovyo, kwani ukikamatwa ukitupa taka ovyo utakuwa umetenda kosa na utashtakiwa.



Hawa ni baadhi ya Wafanyakazi wa Ikongo Compassion  Group wakiwa katika utekelezaji wa kuweka chombo cha kuhifadhia taka ngumu katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kilosa. Hii ni moja ya mikakati ya Utuzaji wa Mazingiri unaofanywa na kutekelezwa na Kampuni hii ya IKONGO COMPASSION GROUP. Unakaribishwa sana katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ili ujionee na kujifunza  mpango wa Usafi na Mazingira. Mara uingiapo katika Mji wa Kilosa Jilinde na kutupa taka ovyo, kwani ukikamatwa ukitupa taka ovyo utakuwa umetenda kosa na utashtakiwa.



KAMPUNI YA IKONGO COMPASSION GROUP  Inakukaribisha katika Hotel  kubwa na yakipekee iliyoko katika mji wa Kilosa. Picha unazoziona ni siku rasmi ya uzinduzi wa Hotel hiyo ya Kifahari. Ilizinduliwa rasmi na Mbio za Mwenge wa Uhuru. Maelezo zaidi na tarehe pamoja na majina tutayaandika hivi karibuni.



KAMPUNI YA IKONGO COMPASSION GROUP  Inakukaribisha katika Hotel  kubwa na yakipekee iliyoko katika mji wa Kilosa. Picha unazoziona ni siku rasmi ya uzinduzi wa Hotel hiyo ya Kifahari. Ilizinduliwa rasmi na Mbio za Mwenge wa Uhuru. Maelezo zaidi na tarehe pamoja na majina tutayaandika hivi karibuni.




Jumatano, 5 Juni 2013

Watumishi wa Mungu na Wanachama wa PPFT Wakisikiliza kwa makini kuhusu Misingi ya Imani ya Kipentecoste


 

Aliye simama ni Askofu Wilson Mwawogha makamu mwenyekiti wa PPFT Taifa akifafanua jambo katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Peacok Hotel wakati wa Kikao.

 KUSHOTO NI MWENYEKITI WA PPFT TAIFA ASKOFU PIUS  E. IKONGO WAKIWA NA KATIBU MKUU WA PPFT TAIFA ASKOFU  D. GAMBA.

 

   

 


Jumanne, 4 Juni 2013

 Mkurugenzi wa Hapari na Machapisho wa PPFT Taifa Mwalimu na Mtumishi wa Mungu Upendo

    Karibu katika JIJI la Dar  Es Salaam  Jiji lenye Amani na Utulivu.