Jumanne, 7 Mei 2013

RUMAFRICA INAKUPONGEZA BONIFACE MAGUPA NA JESSICA KWA KUACHANA NA UKAPERA

Aliyekuwa Mtangazaji wa Praise Power kabla hajahamia Channel Ten Boniface Magupa amefunga pingu za Maisha na Mwanamuziki wa Injili Jesca Honore Katika Mkoa wa Shinyanga.

Boniface Magupa ambaye ni Mtangazaji wa Television na Mke wake Jesca Honore ambaye siku chache zilizopita alizindua albam yake ya "Nimezima Ukimya" watarejea Dar baada ya kumaliza shughuli nzima za fungate katikati ya mwezi May.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni