Huyu ni Askofu na Dokta Denis wa Jimbo la Morogoro Kanisa la EAGT. Akisisitiza Waumni wa Kanisa lake la Mahali pamoja EAGT Morogoro Mjini, Kuhusu Kanisa la Mungu kuwa katika Hali ya Maombi.
Huyu ni Rev. Magaga wa Kanisa la EAGT Handeni Mjini. Akiwa kanisani kwake siku aliyotembelewa na Profesor Ikongo Knisani kwake
Profesor Ikongo Akihubiri Neno la Mungu katika Kanisa la EAGT Iringa Mjini kwa Askofu wa Jimbo hilo
Profesor Ikongo Akihubiri Neno la Mungu katika Kanisa la EAGT Iringa Mjini kwa Askofu wa Jimbo hilo
Hawa ni Wazee wa Kanisa la EAGT Iringa Mjini, Wakiwa na Mama Askofu wa Jimbo hilo
Hawa ni Wazee wa Kanisa la EAGT Iringa Mjini, Wakiwa na Mama Askofu wa Jimbo hilo Kanisani siku ambayo Mr and Mrs Ronny Kilas Wakishuhudia muujiza wa Kupata Mtoto, na pia Mama kujifungu salama huku Mama na Mtoto wakiwa katika Afya njema, Sifa na Utukufu Apewe Mungu.
Hawa ni Wazee wa Kanisa Pamoja na Katibu wa Kanisa la EAGT Iringa Mjini
Mr and Mrs Ronny Kilas Wakishuhudia muujiza wa Kupata
Mtoto, na pia Mama kujifungu salama huku Mama na Mtoto wakiwa katika
Afya njema, Sifa na Utukufu Apewe Mungu.
Profesor Ikongo Akihubiri Neno la Mungu katika Kanisa la EAGT Iringa Mjini kwa Askofu wa Jimbo hilo
Hawa ni Wazee wa Kanisa la EAGT Morogoro Mjini
Mwambaji maarufu wa Nyimbo za Injili Mtarajiwa katika Kanisa la EAGT Handeni Mjini
Mke wa Mchungaji Magaga wa Kanisa la EAGT Handeni Mjini Akilisoma Neno la Mungu kwa Umakini Mkubwa
Mwambaji maarufu wa Nyimbo za Injili Mtarajiwa katika Kanisa la EAGT Handeni Mjini
Jumanne, 29 Aprili 2014
Ijumaa, 18 Aprili 2014
KONGAMANO IRINGA
BISHOP AND DR BOAZI HUYU NDIYE MTUMISHI AMBAYE MUNGU AMEMKABIDHI MJI WA IRINGA NA VITONGOJI VYAKE. KUPITIA HUDUMA YAKE WATU WENGI KATIKA MKOA WA IRINGA WAMEFUNGULIWA NA KUPONYWA MAGONJWA TOFAUTI
WAIMBAJI WA INJILI
Hawa ni Waimbaji Maarufu wa Nyimbo za Injili Nchini Tanzania wakiwa katika Picha ya Pamoja na Catherin Pius Ikongo Mwanafunzi anayetarajia naye sikumoja atakuwa Mwimbaji kama walivyo wengine.
Kutoka kulia ni Shukrani,Janifa akifuatiwa na Ana maarufu Pindua nguvu za uchawi na mambo yote ya kishetani.
Profesor Ikongo akulihubiri Neno la Mungu katika Huduma ya Askofu and Dokta Boazi wa Iringa Mjini, ambapo Mungu kwa mapenzi yake Kampa Upako maalum wa kuushika Mkoa huo.
Catherin Pius Ikongo. Mwambaji na Mwanasheria Mtarajiwa
Mwimbaji Ana kutoka Moshi kwa Jina Maarufu Pindua nguvu za shetani, ndiye aliyekuwa Mwimbaji Mualikwa katika Kongamano la siku Nne la Pasaka. Muhubiri ni Profesor Ikongo
Mwibaji wa Nyimbo za Injili Shukrani kutoka Dar Es Salaam. Akiwa na Furaha kubwa huku akijiandaa kwenda kumsifu Mungu katika Kongamano Mjini Iringa. Kama kawaida yake huwa anatembea na Mtumishi wa Mungu Profesa Ikongo katika Mikutana na Makongamano kokote aendako, Mtumishi huyo.
Mwibaji wa Nyimbo za Injili Jenifa kutoka Dar Es Salaam. Akiwa na Furaha kubwa huku akijiandaa kwenda kumsifu Mungu katika Kongamano Mjini Iringa. Kama kawaida yake huwa anatembea na Mtumishi wa Mungu Profesa Ikongo katika Mikutana na Makongamano kokote aendako, Mtumishi huyo.
Mtumishi wa Mungu na Mwalimu wa Neno la Mungu Falavia Pius Ikongo akiwa amechemka kweli katika Kulifafanua Neno la Mungu ndani ya Kanisa la EAGT Kisukulu Jijini Dar ES Salaam. Mwenyeji wake ni Mchungaji Letisia hayupo Pichani. Ukitaka kumualika Mwalimu huyu hasa kwa Semina za Wanawake na Vijana Mpigisimu namba 0757828492 ni Mwalimu ambaye Mungu anamtumia kwa Namna ya Tofauti.
Jumanne, 4 Machi 2014
PROFESOR IKONGO
HII NDIYO BARUA ALIYOANDIKIWA ASKOFU BATENZI AMBAYE NI MWENYEKITI WA PCT AMBAYO KWA SASA BAADA YA KUGUNDUA WAMEJULIKANA NA SEREKALI WAMEBADILISHA JINA NA KUJIITA CPCT. KARIBU USOME BARUA INAYOFUATA HAPO CHINI.
PENTECOSTE PASTORS FELLOWSHIP TANZANIA
ASKOFU PIUS ERASTO IKONGO
S.L.P
2730 DAR ES 0788171176/0752558069
Email:pierako@yahoo.com
PENTECOSTOL COUNCIL
OF TANZANIA. PCT
P.O.BOX
62535
DAR
ES SALAAM
YAH: KIKAO CHA PCT CHA
TAREHE 26 NA 27 KUDAI ASKOFU IKONGO NDIYE ANAYE ICHONGANISHA SEREKALI NA PCT.
Baba
Askofu Batenzi Salaam. kama
kichwa cha Somo hapo juu ni Muhimu sana.
Rejea kikao mlicho kaa na kunijadili nakuona ya kwamba mimi ndiye hasa ninaye
husika kuichonganisha PCT na Serekali, na kupitisha eti kuuona uongozi wangu wa
EAGT ili wawape ruhusa ya kuonana na mimi ili kunihoji juu ya swala hilo.
Mtumishi wa Mungu
Baba Askofu nasikitika kusema kwamba Uongozi wa PCT umeshindwa kutambua ni nani
mchonganishi wa PCT na Serekali kama sio hila na unafiki mnaweza kuchagua
wenyewe.
Kwanza si kweli
kwamba kuonana na mimi ili kuniuliza lolote ni lazima mpitie kwa Viongozi wangu
wa EAGT kwani vikao vyote vilivyopita hamkufanya hivyo, bali mlinipigia simu au
kuniita kwa njia ya SMS nami natii na kuja. Kupitia barua hii napenda
kuwafahamisha Maaskofu na Wachungaji pamoja na Viongozi wote wa PCT ya kwamba
Hizo ni mbinu za Uongozi wa Kitaifa wa PCT kuficha ukweli kwamba hawataki
kuutambua Uongozi wa PPFT na kutambua kwamba mimi ndiye mwenyekiti halali wa PENTECOSTE PASTORS FELLOWSHIP TANZANIA, NA
KWAMBA KUMEKUWA NA MGOGORO MKUBWA KATI YA PCT NA PPFT.
Mgogoro huu unatokana na
Katibu Mkuu wa PCT kutumwa kwa Msajili wa Vyama vya Kijamii kuzuia PPFT
Isisajiliwe, na hili sio kwetu tu, bali ninao ushahidi wa kutosha kwambwa
Uongozi wa PCT umekuwa na tabia ya kujipendekeza kwa maslahi yao kwenda katika
Ofisi ya Msajili kuishauri Serekali Isisajili Makanisa ya Kipentecoste bila
kupitia kwao.
Na Watumishi wa
Mungu wengi wameshindwa kupitia PCT kwa vile Ada inayolipishwa na PCT nikubwa kuliko ya
Serekali. Serekali ni Tsh 20,000. kwa mwaka PCT ili kuwa mwanachama lazima
ulipe 200,000. kwa mwaka.
Baba askofu Batenzi
mimi EAGT ni Mshirika na Mchungaji tu, wa Kawaida ila mimi ni Mwenyekiti wa
PPFT Kitaifa, Rejea kikao cha PCT NA PPFT Tarehe 28/3/2013 Ubungo Plaza na
kukubaliana kwamba PPFT kwa vile Sio baraza bali ni Ushirika wa Wachungaji wa
Kipentecoste hivyo PPFT itakuwa mwanachama wa PCT kwa sababu PCT ni baraza.
Natumia nafasi
hii kuwaomba Maaskofu na Wachungaji wote wa Kipentecoste kutokubaliana na
Ubinafsi, Unafiki wa Viongozi hawa wa PCT Wanaokaa vikao na kuomba kutafuta
kuonana na mimi wakati tarehe 9 na tarehe 10 Waliniita kama kiongozi wa PPFT na
kuhudhuria vikao hivyo.
Kikao cha tarehe
9 na 10 /2/2014 Niliwahoji sana kuhusu kama kweli wamepeleka Majina Ikulu
watuonyeshe wajumbe wa kikao tujue ni majina mangapi na ni akinanani
Wamependekezwa na PCT Kabla ya tarehe 11/2/2014 kujitokeza mbele ya Vyombo vya
Habari ili Kuilaumu Serekali jambo ambalo mpaka tunaenda kukutana na Vyombo
hivyo vya habari hawakutaka kuturidhisha Wajumbe wa kikao kwamba Majina
yalipelekwa.
Na hii ndio sababu mpaka leo Uongozi wa PCT
haujaweka wazi kama walipeleka Majina Ikulu ni
mangapi na ni akinanani.
KUHUSU MADAI YA
ASKOFU IKONGO KUICHONGANISHA SEREKALI NA
PCT SI KWELI.
Baba Askofu Batenzi
nakuheshimu sana, ila kwa hili ni vema wewe ukiwa Mwenyekiti wa PCT Ukasema
ukweli hata kama ukweli huo utakugharimu
ni vema kuusimamia na ndio sifa za Kiongozi Mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mungu
ambavyo ndivyo nilivyo kuwa na kuelewa.
Nakuomba unijibu
Maswali yangu haya ndipo tutatambua Mchonganishi ni nani.
1. Mwaka
2010 wakati wa Uchaguzi mkuu wa Serekali ni
nani alieandika barua kwa jina la PCT na kuisambaza Nchi nzima kuwa
Serekali ya CCM isichaguliwe? Ni mimi au ni PCT ?
2. Barua
ya tarehe 19/3/2014 yenye maneno yanayosomeka nanukuu” HAKUNA SABABU YA
SEREKALI ILIYOKO MADARAKANI KUENDELEA KUNG'ANG'ANIA KUONGOZA NCHI” Barua hiyo Ilifikishwa Ikulu Kwa niaba ya Wapentecoste wote Tanzania
imesainiwa na Mwenyekiti wa PCT Taifa. Swali bado ni mimi naichonganisha PCT na
Serekali?
3. Barua
ambayo ni Taarifa ya PCT Taifa kwa niaba
ya Wapentecoste wote Tanzania
ya tarehe 11/2/2014 Inasema nanukuu “PCT ITATAFAKARI HATUA MADHUBUTI ZA
KUCHUKUA DHIDI YA SEREKALI YA CHAMA CHA MAPINDUZI” Barua hiyo imesainiwa na
Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa PCT Taifa. Je bado mnadai Askofu Ikongo ndiye anaichonganisha
PCT na Serekali?
Mwenyekiti nadhani huo ni ushahidi wa
kutosha kwamba Uongozi wa PCT Taifa unafanya kila mbinu kuchonganisha
Wapentecoste na Serikali kwani mimi siamini kwamba Matamko hayo hapo juu ni ya
Wapentecoste wote Tanzania.
Ni wazi kwamba Uongozi wa PCT Unajaribu kuhodhi Upentecoste kanakwamba nyie
ndio mna hati miliki ya Upentecoste. Mtakuwa mnajidanganya wenyewe, kwani hata
mambo ya msingi ya kuanzishwa PCT mmeyaacha na kuanza mambo yenu wenyewe bila
hata kushirikisha Maaskofu wote na Wapentecoste Tanzania.
Nasikitika kusema
hata Wokovu wenu ninamashaka nao, kwa vile Vongozi wa PCT Mmekuwa
Waongo,Wabinafsi, na Wanafiki na kwa sababu mimi nawambia ukweli ndio sababu
mnanichukia na kuanza kukaa vikao kunijadili. Kumbukeni mliwaambia Wananchi
wote Tanzania kwamba Bonke anakuja Tanzania, nilipowaambia wambieni watu ukweli
kwamba Bonke haji, mkazusha oo Ikongo mbaya, Mlichangisha Pesa za Waumini
kwamba Bonke anakuja na ilipofika siku ya Mkutano Bonke hakuja Hamkutubu dhambi
hiyo bali mlijifunika funika ili muendelee kula pesa za Wapentecoste. Leo hii
Uongozi wa PCT hamko tayari kuweka wazi mapato na matumizi ya Pesa kiasi cha
laki mbili kila mwaka kwa makanisa 75 wanachama wa PCT bali mnamtafuta mchawi
wakati mnajiloga wenyewe.
Mwisho nimeamua kuandika
barua hii na kuweka wazi kila kitu japo mengi nimeyaacha, baada ya Wewe
Mwenyekiti kunieleza kwa njia ya simu kwamba lazima mtaniita na kunihoji katika
kikao cha tarehe 26 na 27/2/2014 kinyume chake haukuniita na kuamua kunijadili
katika kikao hicho kwa malengo ya kuficha ukweli na kunipaka matope kwa jamii
ya Wapentecoste.
Kupitia barua hii
nachukua nafasi kuwaomba Maaskofu na Wachungaji wote Tanzania
walio wanachama wa PCT kuwa makini na Uongozi wa PCT kwani Wanaichonganisha
Serekali na Wapentecoste Tanzania
kupitia Matamko wanayoyatoa bila kuwashirikisha Wanachama.
Pia ningeshauri
Kila Kanisa la Kipentecoste lililosajiliwa kihalali kuandika barua Serekalini
ya kukanusha kwamba halihusiki na Matamko makali yaliyotolewa na Viongozi wa
PCT , Na yakwamba KANISA HUSIKA
HALIKUBALIANI NA MALUMBANO NA SEREKALI. Ukihitaji barua za nakala za barua za
matamko hayo makali na ya uchonganishi kati ya Makanisa ya Kipentecoste na
Serekali nitakupatia.
Sina mengi Ila
nawatakia Viongozi wa PCT Kutubu na kurejea kwa BWANA YESU.
Nakala
Maaskofu wa Kipentecoste wote Tanzania
Wachungaji wa Kipentecoste wote Tanzania
Msajili wa Vyama vya Kijamii Tanzania
Katibu Mkuu Kiongozi Ofisi ya Rais
PROF. PIUS ERASTO IKONGO
MWENYEKITI PPFT TAIFA
Jumamosi, 1 Februari 2014
PROFESOR PIUS IKONGO
NI MTUMISHI WA MUNGU NA MUHUBIRI WA INJILI PROFESSOR PIUS ERASTO IKONGO. NI MMOJA WA WATUMISHI WANAOTEMBEA KATIKA UPAKO WA KIFALME. ANAPATIKANA KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM TANZANIA ALIAMUA KUACHA CHEO CHA UASKOFU NA KUBAKI AKIWA MUHUBIRI WA INJILI TU, KAMA ALIVYOTAKIWA NA MTUMISHI WA MUNGU DR, NA ASKOFU MKUU WA EAGT KABLA YA KUTANGULIA MBINGUNI. HATA HIVYO PROF IKONGO BAADA YA KUPOKEWA NA KAMATI KUU YA EAGT ALIKABIDHIWA KATIKA MIKONO YA ASKOFU NA OFISI YA KANDA YA KUSINI MASHARIKI. JAMBO AMBALO IKONGO ANASEMA KANISA LA EAGT ASKOFU NA DR MOSES KULOLA AMELIACHA KATIKA MIKONO YA VIONGOZI WA KOMAVU NA ANAAMINI NDILO KANISA PEKEE MUNGU AMELICHAGUA KULETA UAMSHO MKUBWA KATIKA NCHI YA TANZANI HIVI KARIBU. UNAWEZA KUWASILIANA NAE KWA NJIA YA SIMU NAMBA 0788-171176 AU 0752-558069 KAMA UNAHITAJI MKUTANO AU SEMINA HATA MAOMBEZI KWA KUTUMIA Email. pierako@yahoo.com
WAIMBAJI KUTOKA MWANZA
MKUTANO WA INJILI EAGT KISUKULU
ASKOFU WA JIMBO LA KINONDONI REV.JOHN ZAKARI ALIYE SIMAMA UPANDE WA KULIA. AKIOMBA MUNGU ILI KUMKARIBISHA KATIBU WA TEBE NA MWINJILISTI WA KIMATAIFA KUTOKA MWANZA. YEYE NI KATIBU WA TEBE KANDA YA ZIWA, KATIKA MKUTANO HUO ALIHUBIRI INJILI ISIYO NA MAJADILIANO WATU WENGI WALIPONYWA NA KUOKOLEWA NA BWANA YESU, BAADA YA KUSIKIA NENO LA MUNGU
HII NI KWAYA YA EAGT KUTOKA MWANZA, NI MOJA YA KWAYA ILIYOIMBA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULI DAR ES ESLAAM. NI WAIMBAJI WAZURI SANA NA WANAFAA KUIMBA KATIKA MIKUTANO YA NJE NA NDANI. WANAPATIKANA MWANZA KATIKA KANISA LA EAGT. MAWASILIANO TUTAYAWEKA SIKU NYINGINE.
HII NI KWAYA YA EAGT KUTOKA MWANZA, NI MOJA YA KWAYA ILIYOIMBA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULI DAR ES ESLAAM. NI WAIMBAJI WAZURI SANA NA WANAFAA KUIMBA KATIKA MIKUTANO YA NJE NA NDANI. WANAPATIKANA MWANZA KATIKA KANISA LA EAGT. MAWASILIANO TUTAYAWEKA SIKU NYINGINE.
MTUMISHI WA MUNGU NA MUHUBIRI WA INJILI KUTOKA MWANZA AKIHUBIRI NENO LA MUNGU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULU DAR ES SALAAM TANZANI. JINA LAKE KAMILI HALIKUWEZA KUPATIKANA KWA HARAKA.
HII NI KWAYA YA EAGT KUTOKA MWANZA, NI MOJA YA KWAYA ILIYOIMBA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULI DAR ES ESLAAM. NI WAIMBAJI WAZURI SANA NA WANAFAA KUIMBA KATIKA MIKUTANO YA NJE NA NDANI. WANAPATIKANA MWANZA KATIKA KANISA LA EAGT. MAWASILIANO TUTAYAWEKA SIKU NYINGINE.
HII NI KWAYA YA EAGT KUTOKA MWANZA, NI MOJA YA KWAYA ILIYOIMBA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULI DAR ES ESLAAM. NI WAIMBAJI WAZURI SANA NA WANAFAA KUIMBA KATIKA MIKUTANO YA NJE NA NDANI. WANAPATIKANA MWANZA KATIKA KANISA LA EAGT. MAWASILIANO TUTAYAWEKA SIKU NYINGINE.
WAPILI KUTOKA KUSHOTO NI ASKOFU WA JIMBO LA KINONDONI AKIFUATIWA NA KATIBU WA TEBE KANDA YA KUSINI MASHARIKI WAKISUBIRI KUMKARIBISHA MUHUBIRI WA KIMATAIFA KUTOKA MWANZA ANAEONEKANA MBELE KABISA YANI WA KWANZA
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI JANET KUTOKA MWANZA. NI MWIMBAJI ANAYEMTUMIKIA MUNGU KWA NJIA YA UIMBAJI, HAPA NIWAKATI AKIKIMSIFU MUNGU KATIKA MKUTANO ULIOKUWA UKIFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA KISUKULU DAR ES SALAAM.. YEYE NI KUTOKA KATIKA JIJI LA MWANZA TANZANIA.
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI JANET KUTOKA MWANZA. NI MWIMBAJI ANAYEMTUMIKIA MUNGU KWA NJIA YA UIMBAJI, HAPA NIWAKATI AKIKIMSIFU MUNGU KATIKA MKUTANO ULIOKUWA UKIFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA KISUKULU DAR ES SALAAM.. YEYE NI KUTOKA KATIKA JIJI LA MWANZA TANZANIA.
HII NI KWAYA YA EAGT KUTOKA MWANZA, NI MOJA YA KWAYA ILIYOIMBA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULI DAR ES ESLAAM. NI WAIMBAJI WAZURI SANA NA WANAFAA KUIMBA KATIKA MIKUTANO YA NJE NA NDANI. WANAPATIKANA MWANZA KATIKA KANISA LA EAGT. MAWASILIANO TUTAYAWEKA SIKU NYINGINE.
HII NI KWAYA YA EAGT KUTOKA MWANZA, NI MOJA YA KWAYA ILIYOIMBA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULI DAR ES ESLAAM. NI WAIMBAJI WAZURI SANA NA WANAFAA KUIMBA KATIKA MIKUTANO YA NJE NA NDANI. WANAPATIKANA MWANZA KATIKA KANISA LA EAGT. MAWASILIANO TUTAYAWEKA SIKU NYINGINE.
MTUMISHI WA MUNGU NA MUHUBIRI WA INJILI KUTOKA MWANZA AKIHUBIRI NENO LA MUNGU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULU DAR ES SALAAM TANZANI. JINA LAKE KAMILI HALIKUWEZA KUPATIKANA KWA HARAKA.
HII NI KWAYA YA EAGT KUTOKA MWANZA, NI MOJA YA KWAYA ILIYOIMBA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULI DAR ES ESLAAM. NI WAIMBAJI WAZURI SANA NA WANAFAA KUIMBA KATIKA MIKUTANO YA NJE NA NDANI. WANAPATIKANA MWANZA KATIKA KANISA LA EAGT. MAWASILIANO TUTAYAWEKA SIKU NYINGINE.
HII NI KWAYA YA EAGT KUTOKA MWANZA, NI MOJA YA KWAYA ILIYOIMBA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIYOANDALIWA NA KANISA LA EAGT KISUKULI DAR ES ESLAAM. NI WAIMBAJI WAZURI SANA NA WANAFAA KUIMBA KATIKA MIKUTANO YA NJE NA NDANI. WANAPATIKANA MWANZA KATIKA KANISA LA EAGT. MAWASILIANO TUTAYAWEKA SIKU NYINGINE.
WAPILI KUTOKA KUSHOTO NI ASKOFU WA JIMBO LA KINONDONI AKIFUATIWA NA KATIBU WA TEBE KANDA YA KUSINI MASHARIKI WAKISUBIRI KUMKARIBISHA MUHUBIRI WA KIMATAIFA KUTOKA MWANZA ANAEONEKANA MBELE KABISA YANI WA KWANZA
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI JANET KUTOKA MWANZA. NI MWIMBAJI ANAYEMTUMIKIA MUNGU KWA NJIA YA UIMBAJI, HAPA NIWAKATI AKIKIMSIFU MUNGU KATIKA MKUTANO ULIOKUWA UKIFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA KISUKULU DAR ES SALAAM.. YEYE NI KUTOKA KATIKA JIJI LA MWANZA TANZANIA.
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI JANET KUTOKA MWANZA. NI MWIMBAJI ANAYEMTUMIKIA MUNGU KWA NJIA YA UIMBAJI, HAPA NIWAKATI AKIKIMSIFU MUNGU KATIKA MKUTANO ULIOKUWA UKIFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA KISUKULU DAR ES SALAAM.. YEYE NI KUTOKA KATIKA JIJI LA MWANZA TANZANIA.
Jumatano, 11 Desemba 2013
PROFESSOR PIUS ERASTO IKONGO
Mtumishi wa Mungu Professor Pius Ikongo, anatarajiwa kuwa na Mkutano Mkubwa
wa Neno la Mungu katika Viwanja vya Kanisa la EAGT Kigamboni kwa Askofu
na Dokta Nicodemas Nyenye. Mkutano huo unatarajiwa kuaanza rasmi tarehe
22 hadi tarehe 29 / 12 / 2013. Wote mnakaribishwa, waleteni wagonjwa na Wenye shida mbalimbali Bwana Yesu Atawaponya
Jumatano, 4 Desemba 2013
VIONGOZI WA TEBE KANDA YA KUSINI MASHARIKI
Wakwanza kutoka kulia ni Mkurugenzi akifatiwa na Makamu wake, na watatu kutoka kulia ni Katubu wa TEBE Kanda ya Kusini mashariki na wa mwisho kutoka kulia ni Mwekahazina wa Kanda. Wakiwa katika Kongamano kubwa waliloliandaa kwa ufanisi mkubwa huko Mlandizi nje kidogo ya Jiji la Dar ES Esalaam Tanzania. RIPOTI KAMILI ITAKUJIA HIVI PUNDE
Watatu kutoka kulia ni Mtumishi wa Mungu Profesa Ikongo akisubiri kukaribishwa ili Kuhubiri Neno la Mungu katika Mkutano wa Nje ulioandaliwa na TEBE Kanda na ni Mkutano wa kwanza Profesa Ikongo Kuhubiri tangu kuamua kujiungu na Kanisa la EAGT na kuacha kutumia jina la Uaskofu kama alivyoachiwa maagizo na Mungu kupitia Mtumishi wa Mungu aliyetangulia mbinguni DR, Bishop M, Kulola.
Wakwanza kutoka kulia ni Mkurugenzi akifatiwa na Makamu wake, na watatu kutoka kulia ni Katubu wa TEBE Kanda ya Kusini mashariki na wa mwisho kutoka kulia ni Mwekahazina wa Kanda. Wakiwa katika Kongamano kubwa waliloliandaa kwa ufanisi mkubwa huko Mlandizi nje kidogo ya Jiji la Dar ES Esalaam Tanzania. RIPOTI KAMILI ITAKUJIA HIVI PUNDE
Watatu kutoka kulia ni Mtumishi wa Mungu Profesa Ikongo akisubiri kukaribishwa ili Kuhubiri Neno la Mungu katika Mkutano wa Nje ulioandaliwa na TEBE Kanda na ni Mkutano wa kwanza Profesa Ikongo Kuhubiri tangu kuamua kujiungu na Kanisa la EAGT na kuacha kutumia jina la Uaskofu kama alivyoachiwa maagizo na Mungu kupitia Mtumishi wa Mungu aliyetangulia mbinguni DR, Bishop M, Kulola.
Wakwanza kutoka kulia ni Mkurugenzi akifatiwa na Makamu wake, na watatu kutoka kulia ni Katubu wa TEBE Kanda ya Kusini mashariki na wa mwisho kutoka kulia ni Mwekahazina wa Kanda. Wakiwa katika Kongamano kubwa waliloliandaa kwa ufanisi mkubwa huko Mlandizi nje kidogo ya Jiji la Dar ES Esalaam Tanzania. RIPOTI KAMILI ITAKUJIA HIVI PUNDE
Jumapili, 24 Novemba 2013
BISHOP NICODAMASI NYENYE ALIOMBEA TAIFA LA TANZANIA
Askofu Nicodemasi Nyenye Akiongoza Maombi ya kuliombea Taifa la Tanzania pamoja na Viongozi wote wa Taifa. Imekuwa ni utaratibu wa huyu Askofu Nyenye aliyojiwekea baada ya Mungu kuzungumza naye ya kwamba Kila anapokuwa na Mkutano wa Injili siku ya mwisho ya Mkutano yeye pamoja na timu yake ya Injili hujinyima mambo mengi ya kimwili ili kuliombea Taifa pamoja na Rais wa Nchi. Waliovaa vazi lenye Rangi ya Bendera ya Taifa ni Kwanya ya Kanisa la EAGT Kigamboni Jijini Dar Es Salaam Tanzania. Unaemuona juu ya jukwaa ni Askofu Nyenye na Mkewe Wakiwa wamezama katika MAOMBI.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
Hawa ni Wanakwaya ya EAGT Kigamboni Wakimwombea Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Viwanja vya Kanisa la CHEMICHEMI YA UPONYAJI KAJIUNGENI PUGU, DAR ES SALAAM.
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA.
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
ASKOFU WA KANDA YA MASHARIKI YA PWANI EAGT DR N.NYENYE AKIOMBEA WATU KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI ULIO ANDALIWA NA KANISA LA EAGT CHEMICHEMI YA UPONYAJI. KWA MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA HILO, ROMANUSI SAMBALA
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)